×

Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi 26:183 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ash-Shu‘ara’ ⮕ (26:183) ayat 183 in Swahili

26:183 Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 183 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 183 - الشعراء - Page - Juz 19

﴿وَلَا تَبۡخَسُواْ ٱلنَّاسَ أَشۡيَآءَهُمۡ وَلَا تَعۡثَوۡاْ فِي ٱلۡأَرۡضِ مُفۡسِدِينَ ﴾
[الشعراء: 183]

Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولا تبخسوا الناس أشياءهم ولا تعثوا في الأرض مفسدين, باللغة السواحيلية

﴿ولا تبخسوا الناس أشياءهم ولا تعثوا في الأرض مفسدين﴾ [الشعراء: 183]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
na msiwapunje watu chochote katika haki zao kwenye vipimo au mizani au vinginevyo, na msizidishe uharibifu katika ardhi kwa kufanya ushirikina, kuua, kunyang’anya, kuwatisha watu na kutekeleza vitendo vya uasi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek