×

Akapambazukiwa mjini asubuhi naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Mara yule 28:18 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Qasas ⮕ (28:18) ayat 18 in Swahili

28:18 Surah Al-Qasas ayat 18 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Qasas ayat 18 - القَصَص - Page - Juz 20

﴿فَأَصۡبَحَ فِي ٱلۡمَدِينَةِ خَآئِفٗا يَتَرَقَّبُ فَإِذَا ٱلَّذِي ٱسۡتَنصَرَهُۥ بِٱلۡأَمۡسِ يَسۡتَصۡرِخُهُۥۚ قَالَ لَهُۥ مُوسَىٰٓ إِنَّكَ لَغَوِيّٞ مُّبِينٞ ﴾
[القَصَص: 18]

Akapambazukiwa mjini asubuhi naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Mara yule yule aliye mtaka msaada jana akawa anampigia kelele amsaidie. Musa akamwambia: Hakika wewe ni mgomvi kweli kweli

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فأصبح في المدينة خائفا يترقب فإذا الذي استنصره بالأمس يستصرخه قال له, باللغة السواحيلية

﴿فأصبح في المدينة خائفا يترقب فإذا الذي استنصره بالأمس يستصرخه قال له﴾ [القَصَص: 18]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hivyo basi Mūsā akaingiwa na kicho akiwa kwenye mji wa Fir’awn, anatafuta habari zinazozungumzwa na watu kuhusu yeye na yule mtu aliyemuua, hapo akamuona yule mtu wake wa jana akipigana na Mmisri mwingine na akimtaka amsaidie. Mūsā alimwambia, «Kwa kweli, wewe ni mwingi wa upotofu, ni mpotevu waziwazi.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek