×

Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na 3:17 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:17) ayat 17 in Swahili

3:17 Surah al-‘Imran ayat 17 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 17 - آل عِمران - Page - Juz 3

﴿ٱلصَّٰبِرِينَ وَٱلصَّٰدِقِينَ وَٱلۡقَٰنِتِينَ وَٱلۡمُنفِقِينَ وَٱلۡمُسۡتَغۡفِرِينَ بِٱلۡأَسۡحَارِ ﴾
[آل عِمران: 17]

Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira kabla ya alfajiri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الصابرين والصادقين والقانتين والمنفقين والمستغفرين بالأسحار, باللغة السواحيلية

﴿الصابرين والصادقين والقانتين والمنفقين والمستغفرين بالأسحار﴾ [آل عِمران: 17]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hawa ndio waliosifika kwa subira juu ya kumtii Mwenyezi Mungu, kuepuka maasia na juu ya shida zinazowafikia zilizokadiriwa na Mwenyezi Mungu. Na ndio waliosifika kwa ukweli wa maneno na vitendo na kutii kikamilifu. Na ndio waliosifika kwa utoaji, wa siri na wadhahiri, na kwa kuleta istighfar: kuomba msamaha, katika mwisho wa usiku, kwa kuwa wakati huo unatarajiwa zaidi kukubaliwa amali na kujibiwa dua
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek