×

Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache 3:24 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:24) ayat 24 in Swahili

3:24 Surah al-‘Imran ayat 24 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 24 - آل عِمران - Page - Juz 3

﴿ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمۡ قَالُواْ لَن تَمَسَّنَا ٱلنَّارُ إِلَّآ أَيَّامٗا مَّعۡدُودَٰتٖۖ وَغَرَّهُمۡ فِي دِينِهِم مَّا كَانُواْ يَفۡتَرُونَ ﴾
[آل عِمران: 24]

Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك بأنهم قالوا لن تمسنا النار إلا أياما معدودات وغرهم في دينهم, باللغة السواحيلية

﴿ذلك بأنهم قالوا لن تمسنا النار إلا أياما معدودات وغرهم في دينهم﴾ [آل عِمران: 24]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
kujiepusha huko na haki, sababu yake ni itikadi mbaya walionayo Watu wa Kitabu kwamba wao hawataadhibiwa isipokuwa siku chache. Itikadi hii iliwapelekea wao wamfanyiye ujasiri Mwenyezi Mungu na waidharau Dini Yake na waendelee na dini yao ya batili ambayo walijidanganya nayo nafsi zao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek