×

Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila 3:25 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:25) ayat 25 in Swahili

3:25 Surah al-‘Imran ayat 25 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 25 - آل عِمران - Page - Juz 3

﴿فَكَيۡفَ إِذَا جَمَعۡنَٰهُمۡ لِيَوۡمٖ لَّا رَيۡبَ فِيهِ وَوُفِّيَتۡ كُلُّ نَفۡسٖ مَّا كَسَبَتۡ وَهُمۡ لَا يُظۡلَمُونَ ﴾
[آل عِمران: 25]

Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فكيف إذا جمعناهم ليوم لا ريب فيه ووفيت كل نفس ما كسبت, باللغة السواحيلية

﴿فكيف إذا جمعناهم ليوم لا ريب فيه ووفيت كل نفس ما كسبت﴾ [آل عِمران: 25]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Vipi hali zao zitakuwa, Atakapowakusanya Mwenyezi Mungu ili wahesabiwe katika Siku isiyo na shaka kuja kwake, nayo ni Siku ya Kiyama, na kila mmoja apate malipo ya aliyoyatenda, na wao bila kudhulumiwa kitu chochote
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek