×

Ni wazao wao kwa wao; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia na 3:34 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:34) ayat 34 in Swahili

3:34 Surah al-‘Imran ayat 34 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 34 - آل عِمران - Page - Juz 3

﴿ذُرِّيَّةَۢ بَعۡضُهَا مِنۢ بَعۡضٖۗ وَٱللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ ﴾
[آل عِمران: 34]

Ni wazao wao kwa wao; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia na Mwenye kujua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذرية بعضها من بعض والله سميع عليم, باللغة السواحيلية

﴿ذرية بعضها من بعض والله سميع عليم﴾ [آل عِمران: 34]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Manabii hawa na Mitume ni mlolongo wa usafi wenye kuungana katika kumtakasa Mwenyezi Munguna, kumpwekesha na kutenda vitendo vinavyoambatana na wahyi Wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia maneno ya waja Wake, ni Mjuzi wa vitendo vyao na Atawalipa kwavyo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek