×

Nao husema: Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika 32:10 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:10) ayat 10 in Swahili

32:10 Surah As-Sajdah ayat 10 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 10 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿وَقَالُوٓاْ أَءِذَا ضَلَلۡنَا فِي ٱلۡأَرۡضِ أَءِنَّا لَفِي خَلۡقٖ جَدِيدِۭۚ بَلۡ هُم بِلِقَآءِ رَبِّهِمۡ كَٰفِرُونَ ﴾
[السَّجدة: 10]

Nao husema: Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika umbo jipya? Bali wao wanakanusha kwamba watakutana na Mola wao Mlezi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقالوا أئذا ضللنا في الأرض أئنا لفي خلق جديد بل هم بلقاء, باللغة السواحيلية

﴿وقالوا أئذا ضللنا في الأرض أئنا لفي خلق جديد بل هم بلقاء﴾ [السَّجدة: 10]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu wenye kukanusha kufufuliwa wamesema, «Je, itakapokuwa mchanga nyama yetu na mifupa yetu, je, tutafufuliwa tuwe umbo lingine?» huku wakiona kuwa hilo liko mbali kutokea na huku hawataki kuifikia haki. Na hilo kwao ni udhalimu na ushindani, hii ni kwamba wao wanakanusha kukutana na Mola wao Siku ya Kiyama
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek