×

Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha 32:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:13) ayat 13 in Swahili

32:13 Surah As-Sajdah ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 13 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿وَلَوۡ شِئۡنَا لَأٓتَيۡنَا كُلَّ نَفۡسٍ هُدَىٰهَا وَلَٰكِنۡ حَقَّ ٱلۡقَوۡلُ مِنِّي لَأَمۡلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ أَجۡمَعِينَ ﴾
[السَّجدة: 13]

Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyo toka kwangu: Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولو شئنا لآتينا كل نفس هداها ولكن حق القول مني لأملأن جهنم, باللغة السواحيلية

﴿ولو شئنا لآتينا كل نفس هداها ولكن حق القول مني لأملأن جهنم﴾ [السَّجدة: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na lau tungalitaka tungaliwapa washirikina hawa uongofu wao na Angaliwaonyesha njia ya Imani, lakini limethibiti neno linalotoka kwangu na limepasa kwamba nitaujaza, moto wa jahanamu, watu wote wa aina mbili, ya kijini na kibanadamu, wenye kukufuru na kuasi, kwa kuwa walichagua upotevu na kuacha uungofu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek