×

Mkidhihirisha chochote kile, au mkikificha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua 33:54 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahzab ⮕ (33:54) ayat 54 in Swahili

33:54 Surah Al-Ahzab ayat 54 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahzab ayat 54 - الأحزَاب - Page - Juz 22

﴿إِن تُبۡدُواْ شَيۡـًٔا أَوۡ تُخۡفُوهُ فَإِنَّ ٱللَّهَ كَانَ بِكُلِّ شَيۡءٍ عَلِيمٗا ﴾
[الأحزَاب: 54]

Mkidhihirisha chochote kile, au mkikificha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن تبدوا شيئا أو تخفوه فإن الله كان بكل شيء عليما, باللغة السواحيلية

﴿إن تبدوا شيئا أو تخفوه فإن الله كان بكل شيء عليما﴾ [الأحزَاب: 54]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mkidhihirisha chochote kwa ndimi zenu, enyi watu, kati ya vitu vinavyomkera Mtume katika vile alivyowakataza navyo au mkakificha ndani ya nafsi zenu, basi Mwenyezi Mungu, aliyetukuka anavijua vilivyomo ndani ya nyoyo zenu na vile mlivyovidhihirisha, na Atawalipa kwa hayo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek