×

Subhana, Ametakasika, aliye umba dume na jike vyote katika vinavyo mea katika 36:36 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:36) ayat 36 in Swahili

36:36 Surah Ya-Sin ayat 36 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 36 - يسٓ - Page - Juz 23

﴿سُبۡحَٰنَ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلۡأَزۡوَٰجَ كُلَّهَا مِمَّا تُنۢبِتُ ٱلۡأَرۡضُ وَمِنۡ أَنفُسِهِمۡ وَمِمَّا لَا يَعۡلَمُونَ ﴾
[يسٓ: 36]

Subhana, Ametakasika, aliye umba dume na jike vyote katika vinavyo mea katika ardhi na katika nafsi zao, na katika wasivyo vijua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: سبحان الذي خلق الأزواج كلها مما تنبت الأرض ومن أنفسهم ومما لا, باللغة السواحيلية

﴿سبحان الذي خلق الأزواج كلها مما تنبت الأرض ومن أنفسهم ومما لا﴾ [يسٓ: 36]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ametakasika Mwenyezi Mungu Aliye Mkubwa, Aliyeumba mbea zote miongoni mwa aina za mimea ya ardhini, na kutokana na nafsi zao wakiwa wanaume na wanawake, na kutokana na viumbe vya Mwenyezi Mungu na vinginevyo. Hakika Mwenyezi Mungu Amepwekeka kwa uumbaji, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake, hivyo basi haifai Ashirikishwe na mwingine
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek