×

Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani 36:37 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:37) ayat 37 in Swahili

36:37 Surah Ya-Sin ayat 37 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 37 - يسٓ - Page - Juz 23

﴿وَءَايَةٞ لَّهُمُ ٱلَّيۡلُ نَسۡلَخُ مِنۡهُ ٱلنَّهَارَ فَإِذَا هُم مُّظۡلِمُونَ ﴾
[يسٓ: 37]

Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وآية لهم الليل نسلخ منه النهار فإذا هم مظلمون, باللغة السواحيلية

﴿وآية لهم الليل نسلخ منه النهار فإذا هم مظلمون﴾ [يسٓ: 37]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na alama kwao yenye kuonyesha upwekeshaji wa Mwenyezi Mungu na ukamilifu wa uweza Wake ni huu usiku ambao kutoka humo unatolewa mchana, wakitahamaki watu wameingiliwa na giza
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek