×

Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu 38:62 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:62) ayat 62 in Swahili

38:62 Surah sad ayat 62 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 62 - صٓ - Page - Juz 23

﴿وَقَالُواْ مَا لَنَا لَا نَرَىٰ رِجَالٗا كُنَّا نَعُدُّهُم مِّنَ ٱلۡأَشۡرَارِ ﴾
[صٓ: 62]

Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقالوا ما لنا لا نرى رجالا كنا نعدهم من الأشرار, باللغة السواحيلية

﴿وقالوا ما لنا لا نرى رجالا كنا نعدهم من الأشرار﴾ [صٓ: 62]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na watasema wale waliopita vipimo katika uasi, «Mbona hatuwaoni pamoja na sisi Motoni wale watoto ambao tulikuwa tukiwahesabu duniani kuwa ni miongoni mwa watu waovu wakorofi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek