×

Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi 39:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Az-Zumar ⮕ (39:13) ayat 13 in Swahili

39:13 Surah Az-Zumar ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Az-Zumar ayat 13 - الزُّمَر - Page - Juz 23

﴿قُلۡ إِنِّيٓ أَخَافُ إِنۡ عَصَيۡتُ رَبِّي عَذَابَ يَوۡمٍ عَظِيمٖ ﴾
[الزُّمَر: 13]

Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قل إني أخاف إن عصيت ربي عذاب يوم عظيم, باللغة السواحيلية

﴿قل إني أخاف إن عصيت ربي عذاب يوم عظيم﴾ [الزُّمَر: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Sema, ewe Mtume, uwaambie watu, «Mimi ninachelea nikimuasi Mola wangu, katika kile alichoniamuru cha kumuabudu na kumtakasia katika kumtii, adhabu ya Siku hiyo ambayo kituko chake ni kikubwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek