×

Hao ndio Mwenyezi Mungu amewalaani. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani basi hutamwona 4:52 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:52) ayat 52 in Swahili

4:52 Surah An-Nisa’ ayat 52 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 52 - النِّسَاء - Page - Juz 5

﴿أُوْلَٰٓئِكَ ٱلَّذِينَ لَعَنَهُمُ ٱللَّهُۖ وَمَن يَلۡعَنِ ٱللَّهُ فَلَن تَجِدَ لَهُۥ نَصِيرًا ﴾
[النِّسَاء: 52]

Hao ndio Mwenyezi Mungu amewalaani. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani basi hutamwona kuwa na mwenye kumnusuru

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أولئك الذين لعنهم الله ومن يلعن الله فلن تجد له نصيرا, باللغة السواحيلية

﴿أولئك الذين لعنهم الله ومن يلعن الله فلن تجد له نصيرا﴾ [النِّسَاء: 52]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hao ndio ambao umezidi uharibifu wao na umeenea upotevu wao. Mwenyezi Mungu,Aliyetukuka, Amewatoa kwenye rehema Yake. Na yoyote ambaye Mwenyezi Mungu Anamfukuza kwenye rehema Yake, hutampatia wa kumnusuru na kumuepushia adhabu mbaya
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek