×

Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa 4:99 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:99) ayat 99 in Swahili

4:99 Surah An-Nisa’ ayat 99 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 99 - النِّسَاء - Page - Juz 5

﴿فَأُوْلَٰٓئِكَ عَسَى ٱللَّهُ أَن يَعۡفُوَ عَنۡهُمۡۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَفُوًّا غَفُورٗا ﴾
[النِّسَاء: 99]

Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa maghfira

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فأولئك عسى الله أن يعفو عنهم وكان الله عفوا غفورا, باللغة السواحيلية

﴿فأولئك عسى الله أن يعفو عنهم وكان الله عفوا غفورا﴾ [النِّسَاء: 99]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wanyonge hawa ndio wanaotarajiwa kupata msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, kwa kuwa Yeye Anaujua uhakika wa mambo yao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha, Anawasamehe makosa yao na Anawafinikia na kuwasitiria
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek