×

Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui 44:39 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ad-Dukhan ⮕ (44:39) ayat 39 in Swahili

44:39 Surah Ad-Dukhan ayat 39 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ad-Dukhan ayat 39 - الدُّخان - Page - Juz 25

﴿مَا خَلَقۡنَٰهُمَآ إِلَّا بِٱلۡحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ ﴾
[الدُّخان: 39]

Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ما خلقناهما إلا بالحق ولكن أكثرهم لا يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿ما خلقناهما إلا بالحق ولكن أكثرهم لا يعلمون﴾ [الدُّخان: 39]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hatukuviumba hivyo viwili isipokuwa kwa haki ambayo ndiyo mpango wa Mwenyezi Mungu katika kuumba Kwake na kupelekesha mambo Kwake. Lakini wengi wa hawa washirikina hawalijui hilo, na kwa hivyo hawavitii akilini vitu viwili hivyo, kwa kuwa wao hawatarajii kupata malipo mema wala hawaogopi mateso
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek