×

Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye 44:42 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ad-Dukhan ⮕ (44:42) ayat 42 in Swahili

44:42 Surah Ad-Dukhan ayat 42 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ad-Dukhan ayat 42 - الدُّخان - Page - Juz 25

﴿إِلَّا مَن رَّحِمَ ٱللَّهُۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ﴾
[الدُّخان: 42]

Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إلا من رحم الله إنه هو العزيز الرحيم, باللغة السواحيلية

﴿إلا من رحم الله إنه هو العزيز الرحيم﴾ [الدُّخان: 42]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
isipokuwa yule ambaye Mwenyezi Mungu Amemrehemu miongoni mwa Waumini, kwani yeye huenda akamuombea kwa Mola wake baada ya kuruhusiwa na Mwenyezi Mungu. Kwa hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mshindi katika kuwatesa maadui zake, Ndiye Mwenye kuwarehemu kwa wingi wale wenye kumtegemea na kumtii
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek