×

Na walio kufuru waliwaambia walio amini: Lau kuwa hii ni kheri, wasingeli 46:11 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahqaf ⮕ (46:11) ayat 11 in Swahili

46:11 Surah Al-Ahqaf ayat 11 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahqaf ayat 11 - الأحقَاف - Page - Juz 26

﴿وَقَالَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ لِلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَوۡ كَانَ خَيۡرٗا مَّا سَبَقُونَآ إِلَيۡهِۚ وَإِذۡ لَمۡ يَهۡتَدُواْ بِهِۦ فَسَيَقُولُونَ هَٰذَآ إِفۡكٞ قَدِيمٞ ﴾
[الأحقَاف: 11]

Na walio kufuru waliwaambia walio amini: Lau kuwa hii ni kheri, wasingeli tutangulia. Na walipo kosa kuongoka wakasema: Huu ni uzushi wa zamani

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقال الذين كفروا للذين آمنوا لو كان خيرا ما سبقونا إليه وإذ, باللغة السواحيلية

﴿وقال الذين كفروا للذين آمنوا لو كان خيرا ما سبقونا إليه وإذ﴾ [الأحقَاف: 11]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wale walioukanusha unabii wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, walisema wakiwaambia wale waliomuamini, “Lau huko kumuamini Muhammad kwa aliyokuja nayo ni kheri hamngalitutangulia kuamini.” Na kwa kuwa hawakujiongoza na hii Qur’ani wala hawakunufaika na ukweli uliyomo ndani yake, watasema, “Huu ni urongo uliopokewa kwa watu wa kale.”
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek