×

Kwa hakika wanao rudi nyuma baada ya kwisha wabainikia uwongofu, Shetani huyo 47:25 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:25) ayat 25 in Swahili

47:25 Surah Muhammad ayat 25 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 25 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ ٱرۡتَدُّواْ عَلَىٰٓ أَدۡبَٰرِهِم مِّنۢ بَعۡدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمُ ٱلۡهُدَى ٱلشَّيۡطَٰنُ سَوَّلَ لَهُمۡ وَأَمۡلَىٰ لَهُمۡ ﴾
[مُحمد: 25]

Kwa hakika wanao rudi nyuma baada ya kwisha wabainikia uwongofu, Shetani huyo amewashawishi na amewaghuri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين ارتدوا على أدبارهم من بعد ما تبين لهم الهدى الشيطان, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين ارتدوا على أدبارهم من بعد ما تبين لهم الهدى الشيطان﴾ [مُحمد: 25]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika ya wale waliyorudi nyuma wakaacha uongofu na Imani na wakageuka kwa visigino vyao wakimkanusha Mwenyezi Mungu baada ya haki kuwafunukia, (hao) Shetani amewapambia makosa yao na akawanyoshea matumaini ya kuishi duniani
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek