×

Haya ndiyo mnayo ahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Mwenyezi Mungu na 50:32 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Qaf ⮕ (50:32) ayat 32 in Swahili

50:32 Surah Qaf ayat 32 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Qaf ayat 32 - قٓ - Page - Juz 26

﴿هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِكُلِّ أَوَّابٍ حَفِيظٖ ﴾
[قٓ: 32]

Haya ndiyo mnayo ahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Mwenyezi Mungu na akajilinda

❮ Previous Next ❯

ترجمة: هذا ما توعدون لكل أواب حفيظ, باللغة السواحيلية

﴿هذا ما توعدون لكل أواب حفيظ﴾ [قٓ: 32]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na waambiwe hao Waumini, «Hii ndiyo ile mliokuwa mkiahidiwa, enyi wachamungu, kwa kila mtubiaji dhambi zake, mwenye kukitunza kila kinachomkurubisha kwa Mola Wake miongoni mwa mambo ya lazima na ya utiifu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek