×

Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na khofu, nao wakambashiria kupata 51:28 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Adh-Dhariyat ⮕ (51:28) ayat 28 in Swahili

51:28 Surah Adh-Dhariyat ayat 28 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Adh-Dhariyat ayat 28 - الذَّاريَات - Page - Juz 26

﴿فَأَوۡجَسَ مِنۡهُمۡ خِيفَةٗۖ قَالُواْ لَا تَخَفۡۖ وَبَشَّرُوهُ بِغُلَٰمٍ عَلِيمٖ ﴾
[الذَّاريَات: 28]

Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na khofu, nao wakambashiria kupata kijana mwenye ilimu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فأوجس منهم خيفة قالوا لا تخف وبشروه بغلام عليم, باللغة السواحيلية

﴿فأوجس منهم خيفة قالوا لا تخف وبشروه بغلام عليم﴾ [الذَّاريَات: 28]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Alipowaona hawali aliingiwa na kicho cha kuwaogopa, na hapo wakamwambia, «Usiogope! Sisi ni wajumbe wa Mwenyezi Mungu. Na wakampa bishara kwamba mkewe Sarah atamzalia mtoto atakayekuwa ni miongoni mwa watu wanaomjua Mwenyezi Mungu na kuijua Dini Yake, naye ni Isḥāq, amani imshukie
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek