×

Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala 52:23 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah AT-Tur ⮕ (52:23) ayat 23 in Swahili

52:23 Surah AT-Tur ayat 23 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah AT-Tur ayat 23 - الطُّور - Page - Juz 27

﴿يَتَنَٰزَعُونَ فِيهَا كَأۡسٗا لَّا لَغۡوٞ فِيهَا وَلَا تَأۡثِيمٞ ﴾
[الطُّور: 23]

Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يتنازعون فيها كأسا لا لغو فيها ولا تأثيم, باللغة السواحيلية

﴿يتنازعون فيها كأسا لا لغو فيها ولا تأثيم﴾ [الطُّور: 23]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na miongoni mwa starehe hizo ni kuwa wao watapeana gilasi ya pombe, mmoja wao atampa mwenzake, ili furaha yao ikamilike. Kinywaji hiki kinatafautiana na pombe ya duniani, hakimleweshi akili mwenye kukinywa, wala hakisababishi kubobokwa, wala maneno ya makosa na maasia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek