×

Sema: Mwenyezi Mungu hukuokoeni kutoka hayo, na kutoka kila mashaka, na kisha 6:64 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:64) ayat 64 in Swahili

6:64 Surah Al-An‘am ayat 64 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 64 - الأنعَام - Page - Juz 7

﴿قُلِ ٱللَّهُ يُنَجِّيكُم مِّنۡهَا وَمِن كُلِّ كَرۡبٖ ثُمَّ أَنتُمۡ تُشۡرِكُونَ ﴾
[الأنعَام: 64]

Sema: Mwenyezi Mungu hukuokoeni kutoka hayo, na kutoka kila mashaka, na kisha nyinyi mnamshirikisha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قل الله ينجيكم منها ومن كل كرب ثم أنتم تشركون, باللغة السواحيلية

﴿قل الله ينجيكم منها ومن كل كرب ثم أنتم تشركون﴾ [الأنعَام: 64]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Waambie, ewe Mtume, «Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Ndiye Mwenye kuwaokoa na vitisho hivyi na kila tatizo, kisha nyinyi baada ya hapo mnawashirikisha wengine pamoja Naye katika ibada.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek