×

Inafaa nisiseme juu ya Mwenyezi Mungu ila lilio la Haki. Nami hakika 7:105 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:105) ayat 105 in Swahili

7:105 Surah Al-A‘raf ayat 105 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 105 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿حَقِيقٌ عَلَىٰٓ أَن لَّآ أَقُولَ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلۡحَقَّۚ قَدۡ جِئۡتُكُم بِبَيِّنَةٖ مِّن رَّبِّكُمۡ فَأَرۡسِلۡ مَعِيَ بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ ﴾
[الأعرَاف: 105]

Inafaa nisiseme juu ya Mwenyezi Mungu ila lilio la Haki. Nami hakika nimekujieni na dalili waziwazi kutokana na Mola Mlezi wenu. Basi waache Wana wa Israili wende nami

❮ Previous Next ❯

ترجمة: حقيق على أن لا أقول على الله إلا الحق قد جئتكم ببينة, باللغة السواحيلية

﴿حقيق على أن لا أقول على الله إلا الحق قد جئتكم ببينة﴾ [الأعرَاف: 105]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
«Nastahili nisiseme kuhusu Mwenyezi Mungu isipokuwa ukweli na inapasa kwangu nijilazimishe nayo. Nimewajia na dalili na hoja zenye ushindi kutoka kwa Mola wenu juu ya ukweli wa yale ninayowatajia. Basi waachilie, ewe Fir'awn, Wana wa Isrāīl pamoja na mimi kutoka kwenye kifungo chako na ukandamizaji wako, na wape uhuru wa kumuabudu Mwenyezi Mungu.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek