×

Na hakika tuliwaadhibu watu wa Firauni kwa miyaka (ya ukame) na kwa 7:130 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:130) ayat 130 in Swahili

7:130 Surah Al-A‘raf ayat 130 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 130 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَلَقَدۡ أَخَذۡنَآ ءَالَ فِرۡعَوۡنَ بِٱلسِّنِينَ وَنَقۡصٖ مِّنَ ٱلثَّمَرَٰتِ لَعَلَّهُمۡ يَذَّكَّرُونَ ﴾
[الأعرَاف: 130]

Na hakika tuliwaadhibu watu wa Firauni kwa miyaka (ya ukame) na kwa upungufu wa mazao, ili wapate kukumbuka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد أخذنا آل فرعون بالسنين ونقص من الثمرات لعلهم يذكرون, باللغة السواحيلية

﴿ولقد أخذنا آل فرعون بالسنين ونقص من الثمرات لعلهم يذكرون﴾ [الأعرَاف: 130]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika tulimpa Fir'awn na watu wake mtihani wa chaka na ukame na upungufu wa matunda yao na nafaka zao ili wakumbuke na wakome, waache upotevu wao na wakimbilie kwa Mola wao kwa kutubia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek