×

Na mkiwaita kwenye uwongofu hawasikii. Na unawaona wanakutazama, nao hawaoni 7:198 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:198) ayat 198 in Swahili

7:198 Surah Al-A‘raf ayat 198 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 198 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَإِن تَدۡعُوهُمۡ إِلَى ٱلۡهُدَىٰ لَا يَسۡمَعُواْۖ وَتَرَىٰهُمۡ يَنظُرُونَ إِلَيۡكَ وَهُمۡ لَا يُبۡصِرُونَ ﴾
[الأعرَاف: 198]

Na mkiwaita kwenye uwongofu hawasikii. Na unawaona wanakutazama, nao hawaoni

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن تدعوهم إلى الهدى لا يسمعوا وتراهم ينظرون إليك وهم لا يبصرون, باللغة السواحيلية

﴿وإن تدعوهم إلى الهدى لا يسمعوا وتراهم ينظرون إليك وهم لا يبصرون﴾ [الأعرَاف: 198]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na iwapo mtawaita, enyi washirikina, hao waungu wenu kwenye kulingana sawa na haki hawatasikia mwito wenu. Na utawaona, ewe Mtume, waungu wa hawa washirikina miongoni mwa wenye kuabudu mizimu, wanakuelekea kama wanaokutazama na hali wao hawaoni kwa kuwa wao hawana macho wala busara
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek