×

Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili 7:199 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:199) ayat 199 in Swahili

7:199 Surah Al-A‘raf ayat 199 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 199 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿خُذِ ٱلۡعَفۡوَ وَأۡمُرۡ بِٱلۡعُرۡفِ وَأَعۡرِضۡ عَنِ ٱلۡجَٰهِلِينَ ﴾
[الأعرَاف: 199]

Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili

❮ Previous Next ❯

ترجمة: خذ العفو وأمر بالعرف وأعرض عن الجاهلين, باللغة السواحيلية

﴿خذ العفو وأمر بالعرف وأعرض عن الجاهلين﴾ [الأعرَاف: 199]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kubali, ewe Nabii, wewe na wafuasi wako kiwango cha kati cha tabia za watu na vitendo vyao, wala usitake kutoka kwao mambo magumu ili wasije wakachukia; na amrisha kwa kila neno jema na kitendo kizuri; na jiepushe na kushindana na mafidhuli na usijisawazishe na wajinga wenye uchache wa akili
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek