×

Kitabu kilicho teremshwa kwako - basi isiwe dhiki kifuani kwako kwa ajili 7:2 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:2) ayat 2 in Swahili

7:2 Surah Al-A‘raf ayat 2 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 2 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿كِتَٰبٌ أُنزِلَ إِلَيۡكَ فَلَا يَكُن فِي صَدۡرِكَ حَرَجٞ مِّنۡهُ لِتُنذِرَ بِهِۦ وَذِكۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ ﴾
[الأعرَاف: 2]

Kitabu kilicho teremshwa kwako - basi isiwe dhiki kifuani kwako kwa ajili yake, upate kuonya kwacho, na kiwe ni ukumbusho kwa Waumini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كتاب أنـزل إليك فلا يكن في صدرك حرج منه لتنذر به وذكرى, باللغة السواحيلية

﴿كتاب أنـزل إليك فلا يكن في صدرك حرج منه لتنذر به وذكرى﴾ [الأعرَاف: 2]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hii Qur’ani ni Kitabu kitukufu, Mwenyezi Mungu Amekiteremsha kwako, ewe Mtume. Basi pasiwe na shaka katika kifua chako kwamaba imeteremshwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Na usiwe na wasiwasi katika kuifikisha kwa watu na kuwaonya nayo. Tumeiteremsha kwako ili uwatishe nayo makafiri na uwakumbushe Waumini
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek