×

Na kila umma una muda wake. Utakapo fika muda wao basi hawatakawia 7:34 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:34) ayat 34 in Swahili

7:34 Surah Al-A‘raf ayat 34 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 34 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿وَلِكُلِّ أُمَّةٍ أَجَلٞۖ فَإِذَا جَآءَ أَجَلُهُمۡ لَا يَسۡتَأۡخِرُونَ سَاعَةٗ وَلَا يَسۡتَقۡدِمُونَ ﴾
[الأعرَاف: 34]

Na kila umma una muda wake. Utakapo fika muda wao basi hawatakawia hata saa moja, wala hawatatangulia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولكل أمة أجل فإذا جاء أجلهم لا يستأخرون ساعة ولا يستقدمون, باللغة السواحيلية

﴿ولكل أمة أجل فإذا جاء أجلهم لا يستأخرون ساعة ولا يستقدمون﴾ [الأعرَاف: 34]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kila kikundi kilichojikusanya kumkanusha Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, na kuwakanusha Mitume Wake, amani iwashukie, kina wakati wa kushukiwa na mateso. Huo wakati, Aliouweka Mwenyezi Mungu wa kuwaangamiza, hawatakawia nao, japokuwa kwa muda mfupi, wala hawataungulia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek