×

Na wa mwanzo wao watawaambia wa mwisho wao: Basi nyinyi pia hamkuwa 7:39 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:39) ayat 39 in Swahili

7:39 Surah Al-A‘raf ayat 39 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 39 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿وَقَالَتۡ أُولَىٰهُمۡ لِأُخۡرَىٰهُمۡ فَمَا كَانَ لَكُمۡ عَلَيۡنَا مِن فَضۡلٖ فَذُوقُواْ ٱلۡعَذَابَ بِمَا كُنتُمۡ تَكۡسِبُونَ ﴾
[الأعرَاف: 39]

Na wa mwanzo wao watawaambia wa mwisho wao: Basi nyinyi pia hamkuwa na ubora kuliko sisi. Basi onjeni adhabu kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyachuma

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقالت أولاهم لأخراهم فما كان لكم علينا من فضل فذوقوا العذاب بما, باللغة السواحيلية

﴿وقالت أولاهم لأخراهم فما كان لكم علينا من فضل فذوقوا العذاب بما﴾ [الأعرَاف: 39]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hapo watasema wale waliofuatwa miongoni mwa viongozi na wengineo kuwaambia wafuasi wao, «Sisi na nyinyi tuko sawa katika uharibifu na upotevu na katika kufanya vitendo ambavyo ndio sababu ya kupata adhabu, kwa hivyo, nyinyi hamuna ubora juu yetu.» Mwenyezi Mungu Atawaambia wao wote, «Basi ionjeni adhabu,» yaani adhabu ya Jahanamu «kwa makosa mliyoyatenda.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek