×

Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: 72:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Jinn ⮕ (72:1) ayat 1 in Swahili

72:1 Surah Al-Jinn ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Jinn ayat 1 - الجِن - Page - Juz 29

﴿قُلۡ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ ٱسۡتَمَعَ نَفَرٞ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَقَالُوٓاْ إِنَّا سَمِعۡنَا قُرۡءَانًا عَجَبٗا ﴾
[الجِن: 1]

Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قل أوحي إلي أنه استمع نفر من الجن فقالوا إنا سمعنا قرآنا, باللغة السواحيلية

﴿قل أوحي إلي أنه استمع نفر من الجن فقالوا إنا سمعنا قرآنا﴾ [الجِن: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Sema, ewe Mtume, «Mwenyezi Mungu Ameniletea wahyi kwamba kundi la majini walisikiliza kisomo changu cha Qur’ani, na baada ya kusikia walisema kuwaambia watu wao, «Sisi tumeisikia Qur’ani iliyopambika katika uzuri wa maneno yake, ufasaha wake, hekima zake, hukumuzake na habari inazozielezea
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek