×

Amemuumba mtu kwa tone la manii. Naye mara amekuwa mshindani dhaahiri 16:4 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:4) ayat 4 in Swahili

16:4 Surah An-Nahl ayat 4 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 4 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن نُّطۡفَةٖ فَإِذَا هُوَ خَصِيمٞ مُّبِينٞ ﴾
[النَّحل: 4]

Amemuumba mtu kwa tone la manii. Naye mara amekuwa mshindani dhaahiri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: خلق الإنسان من نطفة فإذا هو خصيم مبين, باللغة السواحيلية

﴿خلق الإنسان من نطفة فإذا هو خصيم مبين﴾ [النَّحل: 4]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Amemuumba binadamu kutokana na maji matwevu, akitahamaki ajiona ana nguvu na majivuno, na akawa mkali wa utesi na kumjadili Mola wake katika kukanusha kufufuliwa na mengineyo, kama vile kusema, «Ni nani atakayeihuisha mifupa iwapo imeoza.» Na akawa ni mwenye kumsahau Mwenyezi Mungu Aliyemuumba kutoka kwenye hali ya kutokuwako
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek