×

Wallahi! Sisi tulituma Mitume kwa umati zilizo kuwa kabla yako, lakini Shetani 16:63 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:63) ayat 63 in Swahili

16:63 Surah An-Nahl ayat 63 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 63 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿تَٱللَّهِ لَقَدۡ أَرۡسَلۡنَآ إِلَىٰٓ أُمَمٖ مِّن قَبۡلِكَ فَزَيَّنَ لَهُمُ ٱلشَّيۡطَٰنُ أَعۡمَٰلَهُمۡ فَهُوَ وَلِيُّهُمُ ٱلۡيَوۡمَ وَلَهُمۡ عَذَابٌ أَلِيمٞ ﴾
[النَّحل: 63]

Wallahi! Sisi tulituma Mitume kwa umati zilizo kuwa kabla yako, lakini Shetani aliwapambia vitendo vyao. Kwa hivyo leo yeye ndiye rafiki yao; nao watapata adhabu chungu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: تالله لقد أرسلنا إلى أمم من قبلك فزين لهم الشيطان أعمالهم فهو, باللغة السواحيلية

﴿تالله لقد أرسلنا إلى أمم من قبلك فزين لهم الشيطان أعمالهم فهو﴾ [النَّحل: 63]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Naapa kwa Mwenyezi Mungu, hakika tumewapeleka Mitume kwa makundi ya watu kabla yako, ewe Mtume, Shetani akawapambia matendo waliyoyafanya ya ukafiri, ukanushaji na kuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Yeye anasimamia kazi ya kuwapoteza wao ulimwenguuni, na hao wenye kupotezwa, watakuwa na adhabu kali yenye kuumiza kesho akhera
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek