×

Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka malipo yatokayo kwa 2:103 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:103) ayat 103 in Swahili

2:103 Surah Al-Baqarah ayat 103 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 103 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿وَلَوۡ أَنَّهُمۡ ءَامَنُواْ وَٱتَّقَوۡاْ لَمَثُوبَةٞ مِّنۡ عِندِ ٱللَّهِ خَيۡرٞۚ لَّوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ ﴾
[البَقَرَة: 103]

Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka malipo yatokayo kwa Mwenyezi Mungu yange kuwa bora. Laiti wangeli kuwa wanajua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولو أنهم آمنوا واتقوا لمثوبة من عند الله خير لو كانوا يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿ولو أنهم آمنوا واتقوا لمثوبة من عند الله خير لو كانوا يعلمون﴾ [البَقَرَة: 103]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na lau Mayahudi waliamini na kumuogopa Mwenyezi Mungu, wangalikuwa na yakini kuwa thawabu za Mwenyezi Mungu ni bora kwao kuliko uchawi na kuliko yale waliyoyapata kupitia huo uchawi. Lau walikuwa wanajua thawabu na malipo yanayopatikana kwa kuamini na kumcha Mwenyezi Mungu, ujuzi wa kihakika, wangaliamini
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek