Quran with Swahili translation - Surah Al-Mu’minun ayat 61 - المؤمنُون - Page - Juz 18
﴿أُوْلَٰٓئِكَ يُسَٰرِعُونَ فِي ٱلۡخَيۡرَٰتِ وَهُمۡ لَهَا سَٰبِقُونَ ﴾
[المؤمنُون: 61]
﴿أولئك يسارعون في الخيرات وهم لها سابقون﴾ [المؤمنُون: 61]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Hao wanaojibidiisha kutii, dasturi yao ni kukimbilia kufanya kila kitendo chema, na wao kwa kuyaendea mambo mema ni wenye kutangulia |