×

Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema 24:20 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:20) ayat 20 in Swahili

24:20 Surah An-Nur ayat 20 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 20 - النور - Page - Juz 18

﴿وَلَوۡلَا فَضۡلُ ٱللَّهِ عَلَيۡكُمۡ وَرَحۡمَتُهُۥ وَأَنَّ ٱللَّهَ رَءُوفٞ رَّحِيمٞ ﴾
[النور: 20]

Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na kuwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mpole, Mwenye kurehemu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولولا فضل الله عليكم ورحمته وأن الله رءوف رحيم, باللغة السواحيلية

﴿ولولا فضل الله عليكم ورحمته وأن الله رءوف رحيم﴾ [النور: 20]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na lau kama si wema wa Mwenyezi Mungu juu ya wale waliohusika kwenye tukio la uzushi na rehema zake kwao na kwamba Mwenyezi Mungu Anawahurumia waja Wake Waumini huruma kunjufu katika yale wanaokuwa na pupu nayo (ya ulimwengu) na yale wanayoyasubiri (ya Akhera), hangalizifunua wazi hukumu hizi na mawaidha na Angalifanya haraka kumuadhibu yule aendaye kinyume na amri Yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek