×

Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa 26:186 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ash-Shu‘ara’ ⮕ (26:186) ayat 186 in Swahili

26:186 Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 186 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 186 - الشعراء - Page - Juz 19

﴿وَمَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٞ مِّثۡلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ ٱلۡكَٰذِبِينَ ﴾
[الشعراء: 186]

Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وما أنت إلا بشر مثلنا وإن نظنك لمن الكاذبين, باللغة السواحيلية

﴿وما أنت إلا بشر مثلنا وإن نظنك لمن الكاذبين﴾ [الشعراء: 186]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wewe hukuwa isipokuwa ni mfano wetu sisi katika ubinadamu, basi vipi utahusika peke yako kwa utume bila ya sisi? Na kwa kweli, dhana yetu kubwa kuhusu wewe ni kuwa wewe ni miongoni mwa warongo katika kile unachokidai cha utume
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek