×

Ambao hutoa wanapo kuwa na wasaa na wanapo kuwa na dhiki, na 3:134 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:134) ayat 134 in Swahili

3:134 Surah al-‘Imran ayat 134 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 134 - آل عِمران - Page - Juz 4

﴿ٱلَّذِينَ يُنفِقُونَ فِي ٱلسَّرَّآءِ وَٱلضَّرَّآءِ وَٱلۡكَٰظِمِينَ ٱلۡغَيۡظَ وَٱلۡعَافِينَ عَنِ ٱلنَّاسِۗ وَٱللَّهُ يُحِبُّ ٱلۡمُحۡسِنِينَ ﴾
[آل عِمران: 134]

Ambao hutoa wanapo kuwa na wasaa na wanapo kuwa na dhiki, na wanajizuia ghadhabu, na wasamehevu kwa watu; na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الذين ينفقون في السراء والضراء والكاظمين الغيظ والعافين عن الناس والله يحب, باللغة السواحيلية

﴿الذين ينفقون في السراء والضراء والكاظمين الغيظ والعافين عن الناس والله يحب﴾ [آل عِمران: 134]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wale ambao wanatoa mali yao katika hali ya wepesi na uzito, na wanaozuia hasira zilizo ndani ya nafsi zao kwa kusubiri, na wanaowasamehe waliowadhulumu wanapokuwa na uwezo. Huu ndio wema ambao Mwenyezi Mungu Anawapenda wenye kuwa nao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek