×

Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayo yatamani, kama walivyo fanyiwa 34:54 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Saba’ ⮕ (34:54) ayat 54 in Swahili

34:54 Surah Saba’ ayat 54 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Saba’ ayat 54 - سَبإ - Page - Juz 22

﴿وَحِيلَ بَيۡنَهُمۡ وَبَيۡنَ مَا يَشۡتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشۡيَاعِهِم مِّن قَبۡلُۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ فِي شَكّٖ مُّرِيبِۭ ﴾
[سَبإ: 54]

Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayo yatamani, kama walivyo fanyiwa wenzao zamani. Hakika hao walikuwa na shaka ya kutia wasiwasi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وحيل بينهم وبين ما يشتهون كما فعل بأشياعهم من قبل إنهم كانوا, باللغة السواحيلية

﴿وحيل بينهم وبين ما يشتهون كما فعل بأشياعهم من قبل إنهم كانوا﴾ [سَبإ: 54]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kutawekwa kizuizi baina ya wakanushaji na kile wanachokitamani cha toba na kurudi ulimwenguni wapate kuamini, kama vile Mwenyezi Mungu Alivyowafanya wale wanaofanana na wao miongoni mwa wakanushaji wa watu wa mataifa yaliyopita. Kwa kweli wao walikuwa duniani wako kwenye shaka yenye kutia wasiwasi na babaiko kuhusu jambo la Mitume, kufufuliwa na kuhesabiwa, na kwa hivyo hawakuamini
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek