×

Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande 37:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-saffat ⮕ (37:8) ayat 8 in Swahili

37:8 Surah As-saffat ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-saffat ayat 8 - الصَّافَات - Page - Juz 23

﴿لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى ٱلۡمَلَإِ ٱلۡأَعۡلَىٰ وَيُقۡذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٖ ﴾
[الصَّافَات: 8]

Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande

❮ Previous Next ❯

ترجمة: لا يسمعون إلى الملإ الأعلى ويقذفون من كل جانب, باللغة السواحيلية

﴿لا يسمعون إلى الملإ الأعلى ويقذفون من كل جانب﴾ [الصَّافَات: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hawawezi hao Mashetani kufika kwenye viumbe vya juu, navyo ni mbingu na Malaika waliyomo ndani yake, wakapata kuwasikiliza wanapoutamka wahyi ambao Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anauleta, unaokusanya sheria Yake na makadirio Yake, na wanavurumizwa vimondo katika kila upande
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek