Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 15 - صٓ - Page - Juz 23
﴿وَمَا يَنظُرُ هَٰٓؤُلَآءِ إِلَّا صَيۡحَةٗ وَٰحِدَةٗ مَّا لَهَا مِن فَوَاقٖ ﴾
[صٓ: 15]
﴿وما ينظر هؤلاء إلا صيحة واحدة ما لها من فواق﴾ [صٓ: 15]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Na hawangojei washirikina hawa, ili adhabu iwashukie wakisalia kwenye ushirikina wao, isipokuwa Mvuvio mmoja ambao hauna kurudi |