Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 69 - صٓ - Page - Juz 23
﴿مَا كَانَ لِيَ مِنۡ عِلۡمِۭ بِٱلۡمَلَإِ ٱلۡأَعۡلَىٰٓ إِذۡ يَخۡتَصِمُونَ ﴾
[صٓ: 69]
﴿ما كان لي من علم بالملإ الأعلى إذ يختصمون﴾ [صٓ: 69]
Abdullah Muhammad Abu Bakr «Mimi sikuwa na ujuzi wa utesi wa Malaika wa mbinguni kuhusu kuumbwa kwa Ādam, lau si Mwenyezi Mungu kunijulisha na kuniletea wahyi kwa hilo |