×

Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima 44:4 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ad-Dukhan ⮕ (44:4) ayat 4 in Swahili

44:4 Surah Ad-Dukhan ayat 4 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ad-Dukhan ayat 4 - الدُّخان - Page - Juz 25

﴿فِيهَا يُفۡرَقُ كُلُّ أَمۡرٍ حَكِيمٍ ﴾
[الدُّخان: 4]

Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فيها يفرق كل أمر حكيم, باللغة السواحيلية

﴿فيها يفرق كل أمر حكيم﴾ [الدُّخان: 4]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Katika usiku huo linaamuliwa na kupambanuliwa, kutoka kwenye Ubao Uliohifadhiwa na kuletewa waandishi kati ya Malaika, kila jambo lililokadiriwa la muda wa kuishi na riziki katika mwaka huo na mambo mengine yatakayokuwa na kukadiriwa na Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, mpaka mwisho wa mwaka, hayabadilishwi wala hayageuzwi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek