×

Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao 46:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahqaf ⮕ (46:6) ayat 6 in Swahili

46:6 Surah Al-Ahqaf ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahqaf ayat 6 - الأحقَاف - Page - Juz 26

﴿وَإِذَا حُشِرَ ٱلنَّاسُ كَانُواْ لَهُمۡ أَعۡدَآءٗ وَكَانُواْ بِعِبَادَتِهِمۡ كَٰفِرِينَ ﴾
[الأحقَاف: 6]

Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإذا حشر الناس كانوا لهم أعداء وكانوا بعبادتهم كافرين, باللغة السواحيلية

﴿وإذا حشر الناس كانوا لهم أعداء وكانوا بعبادتهم كافرين﴾ [الأحقَاف: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na pindi watu watakapokusanywa Siku ya Kiyama ili wahesabiwe na walipwe, wale waungu waliokuwa wakiwaomba duniani watakuwa ni maadui zao, wakiwalaani na kujiepusha nao na kukanusha kuwa wao walikuwa wanajua kuwa wale wanawaabudu wao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek