×

Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika 57:22 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hadid ⮕ (57:22) ayat 22 in Swahili

57:22 Surah Al-hadid ayat 22 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hadid ayat 22 - الحدِيد - Page - Juz 27

﴿مَآ أَصَابَ مِن مُّصِيبَةٖ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَا فِيٓ أَنفُسِكُمۡ إِلَّا فِي كِتَٰبٖ مِّن قَبۡلِ أَن نَّبۡرَأَهَآۚ إِنَّ ذَٰلِكَ عَلَى ٱللَّهِ يَسِيرٞ ﴾
[الحدِيد: 22]

Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ما أصاب من مصيبة في الأرض ولا في أنفسكم إلا في كتاب, باللغة السواحيلية

﴿ما أصاب من مصيبة في الأرض ولا في أنفسكم إلا في كتاب﴾ [الحدِيد: 22]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hampatikani na msiba wowote, enyi watu, kwenye ardhi wala ndani ya nafsi zenu, utokanao na magonjwa, njaa na ndwele, isipokuwa umeandikwa kwenye Ubao Uliyohifadhiwa kabla ya kuumbwa viumbe. Hakika hilo, kwa Mwenyezi Mungu, ni jambo sahali
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek