×

Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. 6:147 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:147) ayat 147 in Swahili

6:147 Surah Al-An‘am ayat 147 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 147 - الأنعَام - Page - Juz 8

﴿فَإِن كَذَّبُوكَ فَقُل رَّبُّكُمۡ ذُو رَحۡمَةٖ وَٰسِعَةٖ وَلَا يُرَدُّ بَأۡسُهُۥ عَنِ ٱلۡقَوۡمِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ ﴾
[الأنعَام: 147]

Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu yake kwa watu wakhalifu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فإن كذبوك فقل ربكم ذو رحمة واسعة ولا يرد بأسه عن القوم, باللغة السواحيلية

﴿فإن كذبوك فقل ربكم ذو رحمة واسعة ولا يرد بأسه عن القوم﴾ [الأنعَام: 147]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wakikufanya mrongo, ewe Mtume, wanaokwenda kinyume na wewe miongoni mwa washirikina, Mayahudi na wengineo, waambie, «Mola wenu, Aliyetukuka na kuwa juu, ni Mwenye rehema kunjufu. Na wala haiyepushwi adhabu Yake kwa watu walitenda maovu wakapata madhambi na wakajitokeza wazi na ubaya. Katika haya pana onyo kwao, kwa kwenda kwao kinyume na Mtume , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek