×

Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee 78:39 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naba’ ⮕ (78:39) ayat 39 in Swahili

78:39 Surah An-Naba’ ayat 39 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naba’ ayat 39 - النَّبَإ - Page - Juz 30

﴿ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلۡحَقُّۖ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ مَـَٔابًا ﴾
[النَّبَإ: 39]

Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك اليوم الحق فمن شاء اتخذ إلى ربه مآبا, باللغة السواحيلية

﴿ذلك اليوم الحق فمن شاء اتخذ إلى ربه مآبا﴾ [النَّبَإ: 39]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hiyo ndiyo siku ya haki isiyokuwa na shaka kuja kwake. Kwa hivyo, yule atakaye kuokoka na vituko vya Siku hiyo, na ajifanyie njia ya marejeo kwa Mola wake kutenda vitendo vyema
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek