×

Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu 19:71 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Maryam ⮕ (19:71) ayat 71 in Swahili

19:71 Surah Maryam ayat 71 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Maryam ayat 71 - مَريَم - Page - Juz 16

﴿وَإِن مِّنكُمۡ إِلَّا وَارِدُهَاۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتۡمٗا مَّقۡضِيّٗا ﴾
[مَريَم: 71]

Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن منكم إلا واردها كان على ربك حتما مقضيا, باللغة السواحيلية

﴿وإن منكم إلا واردها كان على ربك حتما مقضيا﴾ [مَريَم: 71]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na hakuna katika nyinyi, enyi watu, yoyote isipokuwa ataufikia huo Moto kwa kupita juu Ṣirāṭ (Njia) iliyotandikwa juu ya daraja la moto wa Jahanamu, kila mmoja kulingana na matendo yake. Hilo ni jambo lenye kuwa kwa lazima, Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, Amepitisha na Ameamua kwamba halina budi kuwa, hakuna namana ya kuliepuka
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek