×

IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza 21:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:1) ayat 1 in Swahili

21:1 Surah Al-Anbiya’ ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 1 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿ٱقۡتَرَبَ لِلنَّاسِ حِسَابُهُمۡ وَهُمۡ فِي غَفۡلَةٖ مُّعۡرِضُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 1]

IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza

❮ Previous Next ❯

ترجمة: اقترب للناس حسابهم وهم في غفلة معرضون, باللغة السواحيلية

﴿اقترب للناس حسابهم وهم في غفلة معرضون﴾ [الأنبيَاء: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Umekaribia wakati wa kuhesabiwa watu juu ya matendo waliyoyatanguliza, pamoja na hivyo, makafiri wanaishi wakiwa kwenye hali ya kupumbaa, wameghafilika na uhakika huu, wakiwa kwenye hali ya kulipa mgongo onyo hili
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek