×

Ama wale ambao nyuso zao zitanawiri watakuwa katika rehema ya Mwenyezi Mungu. 3:107 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:107) ayat 107 in Swahili

3:107 Surah al-‘Imran ayat 107 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 107 - آل عِمران - Page - Juz 4

﴿وَأَمَّا ٱلَّذِينَ ٱبۡيَضَّتۡ وُجُوهُهُمۡ فَفِي رَحۡمَةِ ٱللَّهِۖ هُمۡ فِيهَا خَٰلِدُونَ ﴾
[آل عِمران: 107]

Ama wale ambao nyuso zao zitanawiri watakuwa katika rehema ya Mwenyezi Mungu. Wao humo watadumu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وأما الذين ابيضت وجوههم ففي رحمة الله هم فيها خالدون, باللغة السواحيلية

﴿وأما الذين ابيضت وجوههم ففي رحمة الله هم فيها خالدون﴾ [آل عِمران: 107]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ama wale ambao nyuso zao zitakuwa nyeupe kwa mn’garo wa neema na kwa yale mema ambayo walipewa bishara nayo, wao watakuwa katika Pepo ya Mwenyezi Mungu na starehe zake. Wao watasalia humo, hawatatoka humo milele
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek